SMASSE Homepage

SMASSE Homepage

Mkazo wa masomo ya Hesabu na Sayansi katika shule
za upili Kenya, makao yake ikiwa Chuo cha Walimu,
Kenya Science Teachers College tangu 1998

endelezwa na Wizara ya elimu, sayansi na teknolojia na Shirika la ushirikiano wa kimataifa la Japan


Activity, Student Centred, Experiment & Improvisation

Vitendo, Kulenga wanafunzi, Majaribio na Mwigizo

Yaliyomo yalibadilika Oktoba 18, 2002.

@


1. Karibu SMASSE

Kenya Science T. C.
Ufunguaji wa ofisi mpya
Makao makuu ya SMASSE

1-1 Utangulizi

SMASSE ni mradi wa pamoja baina ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Ufundi, Kenya (MoEST) na Tahasisi ya Muungano wa Kimataifa wa Japan (JICA), ulioanzishwa 1/7/1998.

Dhumuni la mradi huu ni kuwawezesha wanafunzi kufanya vyema katika masomo ya hesabu na sayansi (fisikia, elimu ya viumbe hai na kemia).

Lengo la mradi wa SMASSE ni kukomaza masomo hayo kupitia washa za walimu ambao tayari wanafundisha katika shule za upili.

Baina ya matarajio ya mradi huu ni;

  1. Kuanzisha washa za walimu (INSET) hapo Kenya Science Teachers College.
  2. Kuanzisha washa za walimu wa masomo ya hesabu na sayansi wilayani.
  3. Kuimarishwa kwa Kenya Science Teachers College pamoja na vituo wakilishi wilayani kwa kupewa vifaa.

1-2 Taarifa kwa Kifupi ya SMASSE

Wilaya za mradi huu na idadi zao
@ Wilaya za
mradi huu*
Uchini Asilimia kwa
maradi huu
Idadi za wilaya 15 70 21%
Shule za upili 848 3,028 28%
Walimu wa hesabu na sayansi elf 3 elf 10 30%
Wnafunzi wa kidato cha 1-4 elf 180 elf 69 38%

  1. Wilaya tisa za mwanzo(1998`2003):
    Kajiado, Gucha, Kisii, Makueni, Magarua, Murang'a, Kakamega, Butere/Mumiau & Lugari
  2. Wilaya sita za ziada(2001`2005):
    Kiambu, Kilifi, Taita/Taveta, Meru South, Garissa & Baringo

Wakufunzi wa SMASSE
Idara Wakenyan Wajapani Jumla
Administration 2 2 4
Mathematics Education 7 1 8
Physics Education 7 1 8
Chemistry Education 6 1 7
Biology Education 6 1 7
Education Evaluation 0 1 1
Total 28 7 35

1-3 Habari mpya

Samahani, sehemu hii bado inaendelea kujengwa.


Kurudi juu ya ukurasa juu

Uwasiliano:

SMASSE INSET Unit,
Kenya Science Teachers College,
P.O.Box 30596, Nairobi, 00100, Kenya
Tel: +254-2-573680, 573811, Fax: 573811
info@smasse.org